Wednesday 5 August 2015

MAJINI MAHABA NA NDOA..

Watu wanaosumbuliwa na majini ya Mahaba huota ndoto wanafanya sex na mtu wasiyemjua kama anayeota ni mwanamke basi mumewe akishtuka atakuta mke wake ana mbegu za kiume sehemu za siri za mke wake ingawa hakufanya naye tendo la ndoa.

Pia mtu mwenye majini mahaba anaweza kuwa na mambo mengine yafuatayo:-
Kwanza uhusiano wa ndoa yaani mke na mume huwa na matatizo na mwanandoa mwenye hayo majini basi hukosa hamu ya tendo la ndoa kwa mkewe au mumewe.

Pili kama ni mwanaume basi anakosa nguvu za kiume na pia sperms zake hushindwa kusafiri hadi kufikia fertilization.
Tatu anakuwa na roho ya kukataliwa kwa maana kwamba mambo yote yanakuwa yayaendi iwe kazini, biashara nk
Nne kama ni mwanamke atakosa siku zake (menstrual cycle) na pia hukosa kushika mimba na huweza kupata fibroids (uvimbe kwenye kizazi).
Kuwa na hizo dalili haina maana ya moja kwa moja kwamba una majini issue je unaota ndoto unafanya mapenzi na mwanaume au mwanamke usiyemjua?

JINSI YA KUONDOKANA NA TATIZO HILI
Kama unasumbuliwa kuota ndoto unafanya mapenzi na mtu usiyemjua pamoja na dalili zingine kama zilivyoorodheshwa hapo juu maana yake unahitaji msaada, kwani majini huwa hayatibiwa kwa medication yoyote, wala X ray yoyote wala operation yoyote wala vipimo vyovyote vya hospitalini bali MAOMBI TU KWA JINA LA YESU.

No comments:

Post a Comment