Friday 27 February 2015

ZIJUE SEHEMU ZINAZOMPAGAWISHA MWANAMKE,NA KuMPA HAMU YA KUSEX ZAIDI..

Wanawake wengi japo siyo wote, hupandwa na wazimu wa kimahababa wakichezewa Dodo zao na visimi.

DODO ZA MWANAMKE MARA NYINGI HUSISIMKA ILE MBAYA IKIWA ZITATOMASWA VIZURI NA KWA UPENDO KWA KUTUMIA MIKONO,LIPS ZA MDOMO NA ULIMI KUPEKECHA KUPEKECHA NCHA ZA CHUCHU NA KUZIMUNG'UNYA KWA MFANO WA MTU ANAYEMUNG'UNYA PIPI HIVI NA WAZIMU UKIANZA KUPANDA NCHA ZA CHUCHU ZINA TABIA YA KUDINDA NA KUWA NGUMU NA KUFANYA MATITI YAWE KAMA YAMESIMAMA KAMA YA MTOTO MWENYE BIKIRA YAKE,HALI HIYO YA MATITI KUSIMAMA NA KUCHOMOZA HUJITOKEZ KWENYE K.

AMBAPO MASHAVU YA K HUPANUKA NA KUTENGENEZA MSISIMKO WA AJABU HUKU KISIMI KIKISIMAMA NA KUMWAGA UTE FLANI LAINI AMBAO KAZI YAKE NI KUITELEZESHA MBOO WAKATI INATUMBUKIA.

JINSI JAMAA ANAVYOKUTOMASA MPAKA UNATOA HUO UTE NILIOUSEMA UKITOKWA NA HUO UTE MWANAMKE UNAKUA KATIKA HALI MBAYA SANA,UNAKUA KATIKATI YA KIFO NA UHAI KIASI KWAMBA UKITIWA KIDOLE TU THEN KIKATELEZESHWA NA HUO UTE UTASIKIA RAHA SANA MPAKA MATE YAKUJAE MDOMONI JAPO KUKOJOA INAKUA BADO.

SASA MTU WA AINA YAKO ILI UKOJOZWE,KWANZA LAZIMA UR MAN AJUE AJUE G SPOT YAKO ILIPO THEN ACHEZE NAYO HIYO KWA KUIMASSAGE KWA VIDOLE VYAKE VIWILI AT THE SAME TIME AWE ANACHEZA NA KISIMI CHAKO KWA KUKITEKENYA AWE KAMA ANAICHORA NAMBA 8 KWA ULIMI KUKIZUNGUKA KISIMI KWA KUICHORA NAMBA NANE MARA KADHAA ingawa kwa wenye kinyaa......hawawezi hasa mwanamke kama ana tabia za uchafu.


G SPOT IPO KAMA SENTIMITA 5 HIVI NDANI YA KUMA UKIINGIZA KIDOLE UTAIGUSA,IPO SEHEMU YA JUU YA K,HATA SIJUI KWANINI WANAUME WENGINE HAWAJUI ILIPO,OK ANYWAY.

 USIONE HAYA SEMA NAE JAMAA, MUELEKEZE G SPOT ILIPO MWAMBIE AITEKENYE HIVI,MWAMBIE AKUINGIZE TARATIBU NA KWA UPENDO,VIDOLE VYAkE VIWILI NDANI YA K,THEN AWE KAMA ANAIBONYEZA NA KUISUGUA SEHEMU YA NDANI YA K HIYO NILIYOSEMA IKO KAMA SENTIMITA 5 NDANI YA K,SEHEMU AMABAYO UKIIGUSA UTAFEEL KAMA SPONJI HIVI,JAMAA VILE VIDOLE HUKO NDANI ANAKUA ANAVITUMIA KUIBONYEZA KWA STYLE YA KUITEKENYA G SPOT ANAKUA ANAFANYA KAMA VILE MTU ANAEMFANYIA MTU MWINGINE ISHARA YA KUMWITA NJOO HAPA KWA MKONO.

 KITENDO KITAKACHOKUA KIKIMTEKENYA MWANAMKE MPAKA ANAJISIKIA KAMA MKOJO UNATAKA KUTOKA LAKINI HAUTOKI BASI MBWEMBWE TU ZA KUKUPA WEWE RAHA UIONE DUNIA YOTE HII NI YA KWAKO WEWE NA HUYO ANAEKUFANYA BAADA YA HAPO SASA INGEKUA JAMAA YAKO NI MGANDA,MTU WA BUKOBA AMA MNYARWANDA WANAO UTARATIBU WAO KATIKA MAINGILIANO YA KIMWILI BAINA YA WAWILI WANAOPENDANA,AMBAPO HUUCHUKUA UUME ULIOSIMAMA VIZURI NA KUANZA KUKIPIGA PIGA KISIMI NA KUKISUGUA KWA KICHWA CHA MBOO HALI HIYO AKIIFANYA VIZURI ITAKUFANYA SIO TU KUKOJOA KAWAIDA BALI UMWAGE MAJI MENGI SANA(SQUIRTING)AU KAMA HII YA KUKIPIGA PIGA KISIMI NA KUKISUGUA KWA KICHWA CHA MBOO ITAKUA NGUMU BASI JAMAA UNAWEZA KUMWAMBIA AWE ANAKICHOVYA KICHWA CHA MBOO KWENYE KUTA ZA K HUKU AKIKITUMBIKIZA MPAKA USAWA WA KICHWA TU NA KUKICHOMOA HAPO AKIFANYA MARA MBILI TATU TU KAMCHEZO AKO ATAKOJOA KWA FUJO SANA NA KUKAMUA MPAKA TONE LA MWISHO.

MUHIMU TU UZINGATIE UNYWAJI WA MAJI UKIKUTANA NA WA HIVI MPAKA UNAWEZA KUPATA UPUNGUFU WA MAJI MWILINI THE WAY UTAKAVYOKUWA UNAMWAGA MAJI MENGI KILA MNAPOKUTANA.

Thursday 19 February 2015

UKIMFANYIA HAYA MPENZI WAKO,UTAFANIKIWA KATIKA MAPENZI.

Hapa ni mambo 10 muhimu, ambayo mwanaume ukiyafanya kwa mwanamke wako, hakika utakuwa umejijengea ulinzi wa yeye mwenyewe kujilinda nje.

1.MFANYE MWANAMKE AANZE KUFIKA MLIMA KILIMANHARO KABLA HUJAANZA KUMUINGILIA.

Inawezekana likaonekana jambo geni na la kushangaza kidogo, lakini ukweli ndio uko hivyo. 

Hili ni jambo ambalo wanawake wengi wangelipenda kufanyiwa na wapenzi wao lakini ambalo wanaume huwa hawalifanyi.

Wengi huwaandaa wanawake kwa lengo la kuhakikisha kuwa wametepeta kwenye uke, kwa maana ya kuwa wamelainika ili kuwezesha wao kupenya kwa urahisi, lakini wanawake wengi wangependa zaidi ya hapo.

Ikiwa mwanaume utaweza kumfanya mwanamke afike mlima Kilimanjaro na kutua mizigo yake kabla ya kumuingilia, unajiongezea nafasi ya kumfanya afurahie lile tendo la ndoa zaidi na kukuweka miongoni mwa wanaume walio bora kabisa wa maisha yake.

Hii humfanya awe tayari yuko kwenye hali ya kuhitaji tu kuingia kwa uume wako aweze kupiga bao la pili, na hii inamaanisha kuwa inaweza kuwasaidia sana wale ambao huwa wanakabiliwa na tatizo la kufika kileleni mwa mlima Kilimanjaro haraka sana. Hata ukipigwa bao la usoni sawa tu...Mruhusu!!!


2 – VUMBUA MAENEO MENGINE YENYE KUMSISIMUA.

Ndio, sote tunajua kuhusu matiti, kunyonya ulimi na mengine, lakini hadithi haitakiwi kuishia hapo tu.
Kama ambavyo wanaume wamezoea baadhi ya maeneo yenye kuelezwa kuwa yanamsisimua sana mwanamke, ndivyo ambavyo nao huzoea sana kusisimuliwa kupitia maeneo hayo.

Hii maana yake ni kuwa, unaweza kujikuta unazama kwenye ile hali ya kuzoeleka sana, ambapo akikuona tu, anakuwa tayari anajua huyu ataanza hapa, ataishia pale na atapofika mlimani namna hii. Hili haliwezi kumsisimua mwanamke.


Mwili wa mwanamke, una maeneo zaidi ya 16, ambayo yakichezewa au kuguswa kiufundi wa kimahaba, huweza hata kumfanya mwanamke huyo kukojoa kabla ya kuingiliwa.


Wangapi tunajua kuhusu G-Spot? ..... ufahamu vizuri mwili wa mpenzi wako, na uuzingatie wote kwa ujumla wakati wa kufanya mapenzi naye, na hakika utakuwa shujaa wake.

Matiti yakisisimuliwa vizuri ni kiungo cha ajabu kwa mwanamke!


3 – USIWE KAMA KUKU.

Ndio, licha ya kuwa hapo awali tunaambiwa kuwa ikiwa utaweza kumfanya mwanamke afike kileleni kabla ya kumuingilia, unamjengea mazingira ya kufika kileleni haraka pindi unapomuingilia, lakini haimaanishi basi uwe kama kuku au risasi, kwamba ikishachochewa tu basi inachomoka kwa spidi isiyomithilika.


Mwanaume kudumu kwenye tendo kwa muda wa kutosha, ni moja ya mambo yenye kumjengea heshima kwa mwanamke wake na kumuona kuwa yu shujaa.
Sometimes, pumzi zako kitandani zinaweza pia kutafsiriwa kuwa ni pumzi za mtaani, na kama kitandani hauko nazo za kutosha, itakuwaje siku mmevamiwa mkiwa matembezini na watu unaotakiwa kupigana nao?


Tofauti kubwa sana baina ya wanaume na wanawake ni kuwa, wanaume wengi hujamiiana kwa minajili ya kufika kileleni, ilhali wanawake hujamiiana kwa minajili ya kustarehe.
So, usiifanye starehe hiyo kuwa ya dakika moja...lakini pia usiiifanye kuwa ya kukarahisha, kama ambavyo wanaume wengi wanaamini kuwa kumsugua mwanamke uchi hadi akahitaji barafu la kujikanda ili ipoe, ni ushujaa.
Nusu saa hadi dakika 50 ni muda muafaka kabisa, na zaidi ya dakika 60, kwa wanawake wengi inaweza kuwaondolea sence ya starehe na wakajiona kama wanalipishwa walicholishwa.

4 – MAANDALIZI YA KUMPA MSHAWASHA WA KUHITAJI.

Ndio, wapo wanaume wengi tu wanaoweza kujinadi kuwa wanajua kuwaandaa wanawake zao kwakuwa wanajua kuwanyonya vimi, kunyonya matiti nk, lakini ukweli ni kwamba wengi hatuko hivyo. 

Kama ambavyo nimetanabaisha hapo awali, asilimia kubwa ya wanaume huwachezea wanawake sio kwa lengo la kuamsha hisia zao kwa ajili ya kujamiiana, bali kwa minajili ya kuwafanya wapate ule ute ambao utawarahisishia wao kuingia.


Kitu kikubwa wanachopendelea wanawake, ni aina ya mwanaume ambaye anaweza kumfanyia vimichezo vya kumtia hamu hadi ikiwezekana aanze kuulilia muhogo. 

Jidai kama unataka kumnyonya ki
mi, lakini usifanye hivyo, pumua usawa wa mdomo wa uke wake kiasi cha kumfanya ahisi pumzi yako, mlambe mapajani...sio lazima kila siku iwe kwenye tundu la uke.......

Haya ni baadhi ya yatayomfanya aanze kutamani kwani unakuwa tofauti tofauti, na ukiamsha hisia zake kwa namna ya kipekee.
Na hili basi ndilo lenye kupelekea umuhimu wa jambo jingine lifuatalo ambalo wanawake hulihitaji.


5 – FAIDA YA ULIMI/MDOMO.

..wakati wanaume wengi wamekuwa wakijisifia sana kwa kuwafanyia maandalizi wenza wao, tafiti zinaonyesha kuwa, zaidi ya asilimia 70 yao wamekuwa wakieleza kuwa wanafanya hivyo kwa kutumia tu vidole vyao.
Sawa na ambavyo asilimia 70 ya wanawake walisema kuwa wanadhani kwa kutumia tu viganja vyao wanaweza kumfanya mwanaume akasimama vya kutosha kuwaingilia.


Ukweli ni kwamba, hii sio sahihi kabisa.
Umepewa viungo zaidi kwa ajili ya kumfanya mwenzako aweze kufurahia tendo la ndoa, na ikiwa unaweza kuvitumia, kwanini unavibania bania ?.

Unaona kinyaa kwa mwenza wako au ni nini hasa? Tumia ulimi wako, mnyonye kila mahali ambako unadhani ulimi huo unaweza kufika na ukamfanya asikie rahaa.

6 – MSISIMUE KWA KAULI ZAKO

Wanaume wengi sana huwa mabubu wawapo kitandani wakihofia kuwa wapenzi wao watawafikiria namna gani vipi wakisema sema wakati wanajamiiana nao...
lakini mbona wengine huwa wanaishia kupiga makelele wanapotaka kushusha mizigo yao? 

Kama unaweza kushindwa kujibana kupiga kelele wakati wa kukojoa, kwanini basi ujizuie kumpa maneno matamu matamu wakati unaendelea kumstarehesha?


Nong'ona kwenye sikio lake, mweleze kiasi gani ni mtamu....hata zile oooh....sss....mmmm zako, zifanye sikioni kwake.....
wanawake huwa hawajisikii raha sana wanapokuwa wanaguswa hata kwenye kitu gani wakati wa kujamiiana, ikiwa mwanaume yuko kimya tuuu, utadhani dumwana ambalo linashangaa kilichoko mbele yake.


Anakuwa hajui kama unaenjoy anachokifanya kwako au laa.
Ni sawa na wewe mwanaume, unajisikiaje pale unapokuwa umemgusa mwanamke mahali fulani penye mzizi wa utamu na akaanza kukwambia kwa ile sauti ya kipekee akisema "hapo hapo...hapo hapo jamani raaaha"....

Epuka tu sauti yako isiwe ambayo itamfanya anywee kama alomwagiwa maji ya baridi ilhali alikuwa anakaribia kuanza kuelea angani.
Unaweza kumsifia hata kabla gemu halijaanza....


7 – JENGA MAHUSIANO YA MACHO YENU.

Hivi, ishakutokea ukakojoa ukiwa unamtizama mpenzi wako machoni kwa muda wote wa tukio hilo tu la kukojoa?
Au kumtizama machoni moja kwa moja yeye akiwa anakojoa?
Kwa taarifa yako, hili ni moja kati ya mambo yaliyo na raha ya kipekee ambayo huwezi kuelezea kwa maneno. 

Mawasiliano ya macho wakati wa kujamiiana, huimarisha sana ile hali ya msisimko baina yenu na ikiwa inatokea mwanamke uliye naye alishawahi kutokewa na mwanaume ambaye wakati wanajamiiana alikuwa akimtizama usoni moja kwa moja, basi si ajabu mtapomaliza akajitoa kimaso maso na kukuuliza "mbona ulifumba macho wakati unakojoa", na hapa atakuwa akimaanisha kuwa kuna ulichomnyima.


Mwanaume, jitahidi kubadili utaratibu wa kila siku kuzima taa wakati mnajamiiana, acha taa ziwake wakati mwingine, na zipo taa ambazo zenyewe tu kwa uwezo wa rangi zake, huwafanya mjihisi mko dunia nyingine kabisa, kumbe ni kwenye kitanda chenu kile kile ambacho kila siku mnakitumia. 

Mazoea ni mabaya, lakini haimaanishi kuwa hamuwezi kubadilika, na ikiwa unaweza kuongoza jahazi la mabadiliko haya, akizoea hakika atakuwa akikufurahia zaidi.


8 – MZINGATIE BAADA YA KUMALIZA KUJAMIIANA.

Jambo moja ambalo wanaume wanafanya makosa, ni kumu-ignore mwanamke punde wanapokuwa wamemaliza kujamiiana.
Hawajui kuwa, huu ni muda ambao mwanamke anakuwa yuko wazi mno kwao, muda ambao unaweza kumueleza lolote na akakuelewa zaidi ya ambavyo angekuelewa wakati mwingine wowote ule. 

Kimaumbile, wanawake hawakuumbwa kupoa haraka pindi wanapokuwa wamemaliza lile tendo la kuingiliwa.


So, unaweza kuwa umemkojolesha na kumgusa kila angle ambayo unaijua, lakini kitendo cha kumkumbatia, ukampiga busu na kumwambia "asante", huku ukimruhusu alaze kichwa chake tu kifuani mwako kwa kupumzika, kina maana kubwa sana, iliyo sawa au hata zaidi ya kitendo mnachokuwa mmetoka kukifanya.

Huu ni wakati wa kummwagia kila aina ya sifa ambayo anaistahili, na ndio muda muafaka wa kumuandaa kuwa na hamu ya wewe safari nyingine utapomhitaji.

9 – MPE FURSA YA KULIONGOZA JAHAZI KWA NIABA YAKO.

Wanaume wengi sana wameumbwa kutaka kuwa vinara kwa kila kitu, hata wanapokuwa kwenye kujamiiana, hupenda wao ndio waongoze kila move. 

Sio mbaya kwasababu wanawake nao wameumbwa kuwaongoza wanawake na hilo linaeleweka. 

Ni kweli kuwa una wajibu wa kuhakikisha unamgusa kila anapotaka, umfikishe kileleni anapopaota, lakini kwa upande wa pili, kuna asilimia kubwa tu ya wanawake ambao wangependa sana kupewa fursa ya wao kutawala dimba wakati wa mchezo.


Sio suala la kumwambia, leo mie nitalala tu na kukuacha uhangaike na mhogo wangu unavyotaka, laa...atakuona mdhaifu, uliyechoka au unayemsusia tu. 

Kwa kutumia ile ile dhana ya wewe kuongoza jahazi, hakikisha unatengeneza mazingira ya yeye kuutawala mchezo na kuongoza mashambulizi kuelekea anakoona kuwa mshambuliaji atafunga goli la msimu. 

Wanawake wana-enjoy sana wanapoona kuwa wanaume wao wamewapa mamlaka ya kutawala dimba, kwani hiyo huwajengea fikra za kuwa wanaaminika kiuwezo, kiuchezeshaji na hata kiumaliziaji.


Wapo mfano wanawake ambao hupenda sana kunyonya muhogo ya wapenzi wao hadi kukojoa, lakini anapotaka kujaribu tu, unakuta janaume hilo, linamwambia aaah, mie sipendi hiyo....au anamuacha ila akikaribia anaanza kumwambia acha nitakojoa .... si umuache?
Kwani unadhani yeye hajui kuwa akikunyonya utakojoa ?.

Mpe nafasi, anyonye anavyotaka, hata kama ni kukojoa, mkojolee mdomoni tu, maana yu ajua kuwa ndio mwisho wake, lakini kwakuwa anataka umfanye, lazima atajua pia namna ya kukurejesha askari wako awe mkakamavu.


10 – ONDOA MAZOEA.

Wanaume ni watu wa ajabu sana.
Wakati wanaweza kujisifia hadharani kuwa naweza kumfanya hivi mwanamke, nikamgeuza vile, nikamnyanyua hivi na vile, tafiti za kisayansi zinabainisha kuwa, asilimia kubwa ya wanaume, huwa hawapendi sana kuwataka wapenzi wao kubadili staili wakati wa kujamiiana.

Ndio, inawezekana mnatumia staili mbalimbali, lakini sio kwasababu mnaambiana, bali kwakuwa unaweza kuta leo imetokea mwanamke alijiteka kifo cha mende, basi utaendelea...kesho akijitega mbuzi kagoma kwenda, itaendelea hivyo hivyo.


Uchunguzi ambao umethibitishwa na wataalamu ni kuwa, wanawake huwapenda sana wanaume ambao wana uwezo na courage ya kuwataka wabadili mikao wanapokuwa wakiendelea na game.

Ni kama mchezaji wa football vile, anavyowasisimua watazamaji pale anapoanza ku-invent mbinu za kubadili mchezo wakati mchezo ukiwa unaendelea.
Hata kubadili mazingira tu yaweza kuleta msisimko wa kushangaza

NYONGEZA AMBAYO NI KITU CHA MUHIMU SANA,

Kama ulidhani kuwa shukrani kwa mwenzako ni asante tu, basi ulikosea.

Hivi, unadhani wale makahaba wanaouza miili yao kule huwa hawaambiwi asante kwa huduma zao? Wanaambiwa sana tu, lakini mbona hawawakubali wale wote wenye kuwashukuru?


Shukrani kwa mwenza wako inatakiwa iwe ya kivitendo zaidi.
Ufanye mwili wako uonyeshe kuwa unashukuru kwa vile anavyokupa mwenzako, kabla hata ya kutamka kwa mdomo wako kumshukuru.

Kushukuru kwa mwili ni pamoja na kuwa "gentle" wakati wa kujamiiana kwenyewe, na sio unakuta mtu unakazana kumsugua mwanamke wako utadhani unadhamiria kuhakikisha kuwa unafidia bia na vinywaji ulizomnywesha, au mahari kubwa waliyokulipisha wazazi wake wakati wanakukabidhi (kama ni mkeo wa ndoa)

Monday 16 February 2015

NJIA SAHIHI ZA KUMPATA MWENZI WA MAISHA YAKO.

Ni njia gani za kumpata mwenzi wa maisha yako? Inawezekana unakabili mtihani mzito, hujui ni yupi wa nafsi yako. Bila shaka unamtaka yule wako wa kufa na kuzikana.

Mada hii inakuja na suluhisho mahsusi kwako, kumjua mapema anayekufaa, anayeweza kudumu nawe maishani. Zingatia kwamba mwenzi sahihi wa maisha yako ni hatua muhimu kuelekea kwenye mafanikio.

KWANZA TAMBUA HILI
Uhusiano wa kimapenzi ni suala binafsi. Kwanza kabisa ni sanaa inayokutaka uangalie mahitaji yako mwenyewe. Je, unahitaji nini kwa mtu ambaye ungependa awe mwenzi wa maisha yako?

Yale unayotaka kutoka kwa mtu ambaye unapenda awe mwenzi wa maisha yako, unapaswa kuyapa kipaumbele. Hata siku moja, usithubutu matamanio ya mwili na moyo yakupe mwongozo wa kumwona umpendaye.

NANI MWENZI WA MAISHA?
Ni swali ambalo unapaswa kujiuliza. Kwa uwazi kabisa, unatakiwa kuzingatia kuwa mwenzi wa maisha ni yule ambaye utachangia naye mambo mengi kwa uaminifu na maelewano makubwa.

Mwenzi wa maisha si mtu unayeweza kuwa naye kwa mantiki ya kupeana tulizo la ngono unapohitaji au kampani ya kwenda kuangalia ‘muvi’, muziki, ufukweni na kwingineko unapoona huhitaji kuwa peke yako.
Mwenzi wa maisha ni yule atakayefanya ujione umekamilika, bila kujali ‘ubize’ wala ukapa ambao pengine unao ndani ya jamii inayokuzunguka.

Kingine cha kuzingatia ni kwamba, mwenzi wa maisha yako ni yule ambaye anakukubali na kukupenda kama ulivyo, bila kuwepo kwa nyongeza ambazo zitatokana na kukubadilisha kutoka yule wa zamani.

Kupata mwenzi wa maisha mwenye sifa kamili, ni sawa na kupatia herufi ya mwisho kwenye mchezo wa kubahatisha. Kwa maana hiyo, baada ya kumpata, kila kitu kinakuwa kimekamilika maishani mwako.

NANI MWENZI WA MAISHA YAKO?
Pointi ya msingi kuzingatia ni kwamba unahitaji kuwa na yule anayekubalika ndani ya nafsi yako. Hivyo basi, fikiria kwa yale yanayoweza kukufanya uwe na furaha, pia yanayoweza kukupa huzuni.

Zingatia mapitio yako ya nyuma kuona ni kwa namna gani yamekutengeneza mpaka kufika ulivyo sasa. Jiulize pia kuhusu ndoto na malengo yako siku za usoni.

Ikiwa tu utaweza kutambua mahitaji na matarajio yako ya kimaisha, bila shaka utaweza kutambua ni mtu gani anayefaa katika kukusaidia kutimiza kila kilichomo ndani ya malengo yako.

JENGA IMANI
Kutafuta mwenzi wa maisha siyo suala la kuangalia mtu wa kwenda naye klabu kujirusha usiku. Vile vile ni muhimu kutambua kwamba inaweza kukuchukua muda kupata mtu wa kukidhi vigezo vyako.


Pamoja na ukweli huo, bado unatakiwa uwe na imani kwamba itafika wakati utasahau habari za kutafuta mwenzi na utakuwa mwenye furaha, ukijipongeza kwa kumpata anayekufaa.

Mapenzi ni mchezo lakini ni rahisi kuucheza ukitambua kanuni zake. Hii ina maana kuwa unapokuwa kwenye kipengele hiki, unakuwa na jukumu moja zito la kuhakikisha unampata yule mwenye uwezo wa kukonga moyo. Mwenye sura ya kutimiza malengo yako.

Hata hivyo, muhimu kwako ni kuwa mtulivu na kuacha macho yafanye kazi ya kuangaza kwa utaratibu, halafu akili ifanye kazi ya kutathmini kiwango cha huyo atakayeonwa.

Kitu kingine ambacho unatakiwa kuheshimu ni kuwa, wawili wanaopendana, kila mmoja kwa nafasi yake ni nusu ya kitu kizima kinachoitwa ndoa au wapenzi, hivyo wanapounganishwa ndiyo kinapatikana kitu kizima.

Ukiamini kuwa wewe ni nusu na utakamilika baada ya kukutana na mwenzi wako, unachotakiwa kufanya ni kujenga imani kwamba mwenzi wako yupo sehemu kwa ajili yako, hivyo endelea kumtafuta na siku moja utamuweka mikononi mwako. 

Saturday 14 February 2015

AMEKUSALITI,LAKINI BADO UNAMPENDA?

Mada yetu ya leo, kama inavyojieleza kwenye kichwa cha habari, ni mambo unayopaswa kuyafanya unapogundua mpenzi wako amekusaliti wakati bado unampenda na unahitaji kuendelea kuwa naye katika uhusiano wa kimapenzi.

Vitabu vya dini zote vinaeleza kuwa kosa pekee linaloweza kuivunja ndoa, hata ile iliyofungwa kwa baraka za Mungu, iwe ni madhabahuni au msikitini, ni USALITI. Yaani hata kama ulikuwa unampenda vipi, ikitokea amekusaliti na umegundua ukiwa na ushahidi, una haki zote za msingi za kutoa/kudai talaka au kuachana kabisa (kama bado hamjaoana).

Hata hivyo, kuna mazingira ambayo yanaweza kukutokea, ukagundua mkeo, mumeo, mchumba au mpenzi wako amekusaliti lakini kutoka ndani ya moyo wako, ukawa haupo tayari kuachana naye kwa sabahu bado unampenda sana licha ya kwamba amekukosea.
Kuna watu kadhaa ambao wamekutana na hali kama hiyo na hawajui cha kufanya, ndiyo maana leo nimeamua tuijadili mada hii na wewe msomaji wangu.
Naamini mimi peke yangu sijui kila kitu wala ushauri wangu hauwezi kuwa wa mwisho lakini nataka kukushirikisha wewe msomaji wangu, hebu niambie utafanya nini unapotokewa na tukio kama hili? Unampenda kwa moyo wako wote, umemfanyia mambo mengi lakini mwisho ukagundua kuwa amekusaliti, utafanya nini?

Mapenzi yamegeuka shubiri, usaliti na maumivu ya moyo yamegeuka na kuwa sehemu ya kawaida katika uhusiano wa kimapenzi. Watu wengi wanalia kwa sababu wanasalitiwa au waliwahi kusalitiwa na wenzi wao, si wanawake, si wanaume, si wanandoa, si wachumba wala wapenzi!

Zipo sababu nyingi zinazosababisha usaliti lakini lengo langu leo siyo kuzungumzia hilo bali ni kujaribu kuiponya mioyo ya wote waliojeruhiwa na watu wanaowapenda sana kwa kuwasaliti.
Yawezekana ulitokea kumpenda sana mwenzi wako, ukaamini wewe ndiyo kila kitu kwake, ukamtimizia kila kilichokuwa ndani ya uwezo wako lakini mwisho, ukaambulia maumivu baada ya kugundua kuwa yupo mwingine anayekuibia mali zako.

Sitaki kupingana na maandiko ya vitabu vitakatifu au sheria ambazo zipo wazi kwamba malipo ya usaliti ni kuvunjika uhusiano lakini nataka tujadiliane, ni lazima kila unapogundua kuwa mwenzi wako amekusaliti dawa yake ni kupeana talaka au kuachana kwa ugomvi?

Mathalani umefunga ndoa na kuishi na mwenzi wako kwa kipindi kirefu mkipendana, kujaliana na kuoneshana kila aina ya mahaba lakini akateleza na kukusaliti ilihali bado anakupenda na wewe unampenda, utakapoamua kuachana naye na kwenda kwa mwingine, ukigundua naye anakusaliti utafanya nini? Utaachana na wangapi?

Siyo mara zote talaka au kuachana huwa suluhisho la usaliti ndani ya ndoa. Siwafundishi watu wasaliti ndoa zao au uhusiano wao kwa makusudi wakitegemea kusamehewa, hapana.
Nataka uelewe kwamba hata baada ya mwenzi wako kukusaliti, bado mna nafasi ya kuendelea na maisha yenu ikiwa wote wawili mtaamua kulishughulikia tatizo hilo kwa kina bila kujali watu wa nje wanasemaje.

Usikilize moyo wako, ni kweli amekusaliti! Amekuumiza, unahisi dunia yote imekuelemea, unatamani kufa au kuua, lakini je, moyo wako unakuambia nini? Upo tayari kumruhusu mwizi wako ndiyo awe mmiliki halali wa mwenzi wako ambaye bado unampenda?

Wednesday 11 February 2015

MAMBO MUHIMU MAKUU 4 UNAPOKUWA CHUMBANI NA MPENZI WAKO.

Haya ni mambo 4 muhimu unayopaswa
kuyazingatia uwapo chumbani na mpenzi
wako mnapotaka kufanya mapenzi.

1. WEKEZA MAWAZO YAKO KWA MPENZI
WAKO
- Pindi uwapo chumbani na mpenzi wako
jaribu kuwekeza mawazo yako kwa mpenzi
wako ulie nae kwa muda ule, epuka
kufikiria mambo ya nje yaliyotendeka
usiyape nafasi mawazo yako kufikiria vitu
vingine. Unapokuwa chumbani na mpenzi
wako jitahidi kuacha mawazo tofauti
yasiyohusiana na tukio mnalotaka
kulitenda wewe na mpenzi wako hata kama
siku hiyo kuna mtu alikuudhi na unahasira
au pengine kunajambo lolote limekutokea
kwa siku hiyo basi jaribu kuvisahau na
mawazo yako yawe katika mazingira
mliyopo wewe na mpenzi wako kwani
mapenzi ni hisia sasa endapo kama
utakuwa upo ndani na mpenzi wako halafu
ukaanza kuwa unafikiria 

vitu vingine
itapelekea kushindwa kulifurahia penzi
vizuri kwani mawazo yako yatakuwa hayako
pale. Hivyo nivizuri kuwa makini na
kuziwekeza fikra zako zote katika sehemu
husika uliyopo.

2. EPUKA KUPIGA STORY ZISIZO HUSIANA
NA MAPENZI
-Fahamu kuwa pindi
unapokuwa chumbani na mpenzi wako
hupaswi kuanzisha mada zilizo nje ya
mazingira husika elewa kwamba uko
chumbani na mpenzi wako kwa lengo la
kutaka kufurahia mapenzi hivyo maongezi
yako yanatakiwa yalenge mada husika,
usianze kupiga story za ajabu ajabu jitahidi
kuongelea suala zima la mapenzi kwa
kumpa maneno matamu mpenzi wako ya
kimahaba unaweza kuanzisha mada ila
ihusiane na mapenzi na isiwe ni mada
ndefu mpaka ukamboa mpenzi wako. Kuwa
makini  zungumza nae kwa muda mchache
na viwe ni vitu vya msingi na vyenye
maana usianze kuzungumzia habar za watu
au habar za nyumban kwenu zungumzia
vitu vinavyokuhusu wewe na yeye kwa
wakati ule na usiwe muongeaji sana.
Jitahidi kuongelea mapenzi yenu huku
mkiwa katika mikao ya kimapenzi kama
kulaliana n.k. Epuka kuonekana dhaifu
pindi uwapo chumbani na mpenzi wako.

 3. EPUKA KUMWAMBIA NAOMBA TUFANYE
MAPENZI
- kitu cha 3 cha kuzingatia unapokuwa
chumbani na mpenzi wako kwa lengo la
kutaka kufanya nae mapenzi ni kuepuka
kumwambia "NAOMBA TUFANYE MAPENZI"
Tambua kuwa mnapokuwa chumbani na
mpenzi wako lengo lenu linakuwa ni
kufanya mapenzi kwani kabla ya kukutana
katika eneo lile mnakuwa mmeishapanga
mkutane kwa lengo la kufurahia mapenzi
sasa mpenzi wako atakuona ni mtu wa
ajabu pindi utakapomwambia kuwa
unahitaji kufanya nae mapenzi wakati kaja
kwako akiwa anajua anakuja kufanya tendo
husika la mapenzi hivyo utakapomwambia
suala kama hilo kiukweli atashindwa kujua
akujibu vipi na mara nyingi suala kama hili
ukimwambia mwanamke si rahisi kukubali
lazima atakukatilia kwa kukwambia hayuko
tayari kwa siku hiyo kufanya mapenzi na
wengi wao hutoa sababu mbali mbali. Hivyo
unachotakiwa kukifanya ni kuanza na
matendo moja kwa moja anza kumshika
shika mvue nguo zote mchezee kisha anzeni
tendo ila sio umwambie nataka tufanye
mapenzi.

4. USIMUACHE MPENZI WAKO AJIVUE NGUO
YEYE MWENYEWE

-Jambo lingine kuu na la mwisho
lakuzingatia ni kuepuka kumuacha mpenzi
wako avue nguo zake yeye mwenyewe,
faham kuwa pindi uwapo chumbani na
mpenzi wako si vyema kusubiri mpenzi
wako ndio avue nguo zake yeye mwenyewe
unachotakiwa kufanya ni wewe kuanza
kumvua nguo moja moja na sio kumvua
kwa kukurupuka yani mmeingia2 chumbani
halafu unaanza kumvua hapana! Hakikisha
unaanza pole pole pengine unamchezea
chezea sehemu za kawaida unaanza kumtoa
nguo ya juu huku na huku mara umefata
nguo ya chini unaendelea kumchezea
chezea huku unamvua nguo nyingine
mpaka unamtoa zote. Usimwambie yeye
ndio azivue kwani si rahis kwa walio wengi
kukubali tu kuanza kuvua ila ni wajibu
wako wewe mwanaume au mwanamke
kuanza kumvua mpenzi wako.









UMUHIMU WA KUFIKISHANA KILELENI KWA WAPENZI.

Ndoa yoyote ambayo mke au mume hafiki kilele cha mlima kilimanjaro..hiyo siyo ndoa inayokwenda sawa na kuna madhara makubwa kwa pande zote,kwa maana ya mwingine kuweza kuamua kutoka.Ni vizuri walio kwenye ndoa kujifunza namna ya kupeana raha iwapasayo wanandoa kuipata.Kama unafikiri mkeo unaye kwa sababu amekuja kutafuta kula au kununuliwa magari na nguo,hilo ni kosa.Tafakari maana ya kupeana raha kwa kila kona.

Kama ni kula,kila mtu anaweza kujitafutia kwa njia mbalimbali kama ni kuuza mama ntilie na kadhalika.Mwanamke yuko kwa mume kwa sababu anahitaji kupata vitu ambavyo wanawake huvipata kutoka kwa wanaume; Mume ndiyo kichwa,iongoze ndoa yako vizuri kwa hekima...

Kwa asili,inatakiwa mke na mume kufanikisha zoezi hilo la kuwezeshana kufika kileleni na ni jambo muhimu kama ilivyo kutoka jasho mwilini maana siyo tu mwili unaondoa uchafu ndani ya mwili,pia inasaidia kuupoza mwili kuwa sawasawa.

Hivyo ili kulinda ndoa yenu au mahusiano yenu ni jambo la muhimu kuhakikisha kila mmoja anamfikisha mwenzie kwenye kilele cha mlima kilimanjaro,tusijidanganye kuwa limbwata la mganga ndiyo njia ya kudumisha penzi la hasha..Limbwata la kuhakikisha umemfikisha mwenzi wako kileleni ndio mwisho wa matatizo..

ZIFAHAMU NGUO SAHIHI ZA KUVALIWA CHUMBANI UKIWA NA MPENZI WAKO.

Mapenzi ni hisia,na hisia hizo huwa kwa wote yaani kwa wanaume pamoja na wanawake,baadhi ya walio kwenye uhusiano huwalalamikia sana wenzi wao na sababu kuu huwa ni kutokuwa na hamu ya kufanya nao tendo la ndoa.Hapa nitazungumzia mavazi yanayopaswa kuvaliwa chumbani hasa mnapokuwa wawili tu yaani mke na mume..

Mwanaume siku zote huwa na hisia za haraka sana hasa ukimjulia,lakini baadhi ya wanawake huwa wanashindwa kuzijua haraka mbinu za kumpandisha mzuka mumewe hata kama amechoka au ana hasira kwa siku hiyo...Ndugu yangu uchawi rahisi kwa mumeo ni kumvalia nguo nyepesi na yenye kuonyesha maumbile yako kamili,hii inaweza kuwa gauni nyepesi inayoonyesha maumbile yako ama siku hizi kuna mitandio milaini ambayo pia unaweza kuivaa pindi unapokuwa na mwenzi wako,ikumbukwe pia wanaume wengi hupatwa na tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume kwa kukosa hisia za kufanya tendo hilo lakini wanawake ni dawa nzuri ya tatizo hilo ikiwa ataweza kumuhamasisha mumewe kwa njia mbalimbali ikiwemo ya vazi ambalo litamfanya mzee asisimke..

NI VIGUMU KUPATA KAMA UMEINGIA KWENYE NDOA KWA UNAFIKI.

"NI lazima niolewe kwa sababu wadogo zangu wameshaolewa, aaah hapana bwana wadogo zangu wameshaoa kwa hiyo ni lazima na mimi nitafute mtu wa kuoana naye,”ndivyo wanavyojisemea baadhi ya watu.
Kuna wengine wanaoa kwa sababu wameshinikizwa. Lakini ukweli ni kwamba ndoa yoyote ambayo haina upendo wa dhati, ni kosa kubwa.
Katika hali kama hii baadhi ya watu huwa tayari kuoana na yeyote anayepita mbele yake hata bila kuangalia kwa makini kama kweli mtu huyu ni mzuri kwake au la.
Hali hii ya kukubali kuolewa kwa sababu wadogo zako wameolewa, huchangia kasi ya ndoa kuvunjika, kwa sababu watu wanaoana pasipo kupendana kwa dhati.
Ndoa ni nzuri, lakini lazima uelewe kuwa unapaswa kuoana na mtu kwa sababu umemuona anakufaa hasa baada ya kumchunguza kwa makini na kuamini kweli anakufaa.
Usiingie katika mapenzi kwa unafiki, unafiki wa kusema aaah kwa vile baba amesema nikikataa ataniona sina adabu....kumbuka ndoa ni maisha yako si ya baba yako wala mama yako. Ukipata shida utakayeumia kimaisha ni wewe, si mwingine.
Uongo pia ni suala baya katika uhusiano…mwingine ni mnywaji mzuri wa bia na aina nyingine ya vileo lakini ukimuuliza anakwambia mimi simwi wala sivuti, naye anakwambia aaah hata mimi bwana, yaani sipendi kabisa kunywa.
Kama wewe ni mnywaji, sema mimi nakunywa ili mwenzi wako ajue aina ya mke au mume ambaye atakuwa naye. Ingawa ni hatari zaidi kwa mwanamke kulewa, kuliko mwanaume hasa katika suala la uaminifu wa ndoa, lakini maisha ni makubaliano.
Ni rahisi mwanaume mlevi kubaki mwaminifu, lakini ni vigumu kwa mwanamke mzuri mlevi kubaki mwaminifu kwa ndoa yake, kama unabisha shauri yako.
Ninachotaka kusisitiza hapa ni umuhimu wa mtu kuwa muwazi hasa pale wanapoanzisha urafiki, hii itakusaidia hata katika siku za baadaye za uhusiano wenu kuishi kwa amani.
Eeeh bwana maana mumeo atakuwa anajua kwamba nimeoa mke mlevi, nimekubali, hakutakuwa na ugomvi, maana ulishamwambia kwamba mimi bila kunywa usingizi haupandi...siku ukifungwa jela au ukiumwa sijui utalalaje ? Mimi sijui, lakini ninachotaka kusema kwenye kipengele hiki ni kwamba wapo watu wanasema hivyo kwamba eti asipokunywa hajisikii vizuri, kitu ambacho si kweli.
Unafiki mwingine ni wa tabia katika mazungumzo nk, ndugu yangu kama unaelekea kuoa au kuolewa, ni vizuri siku moja tafuta uwezekano wa kugombana na mwenzi wako, uone kauli zake zikoje, anajibu vipi malalamiko.
Kuna wengine wanajifanya wakimya, lakini wana maneno machafu.
Unafiki hauko tu katika mapenzi, bali hata maofisini, mwingine anaweza kukuchekea na ukaamini ni rafiki, kumbe anakuchimba... wengine ni maarufu wa kutangaza mabaya ya wenzao, huku wao wakijiona ni watu safi, wajuaji wa mambo nk.
Katika maisha ni vizuri kuwa kama ulivyo, simamia kwenye ukweli wala usikubali kuingia kwenye uongo ili upate hiki na kile, maisha tunayoishi ni mafupi, uko leo, hujui kama kesho utafika, yanini kuwa mnafiki? Yanini kusengenya wengine? Yanini kuwa mtu wa majungu, badala ya kuangalia mambo yako ambayo yatakusaidia uwe na maisha bora zaidi kuliko ulivyo sasa?
Tangu mwaka uanze umeshateta watu wangapi? Umeshafanya unafiki mara ngapi? Je, kati ya maneno unayozungumza kwa siku, mengi ni ya aina gani....unafiki, uongo au heri kwa wengine? Mimi sijui, lakini wewe unalo jibu, lakini kwa vyovyote itakavyokuwa ni vizuri katika maisha pendelea kuachana na tabia za kinafiki.

Wednesday 4 February 2015

FAHAMU MBINU ZA KUAMSHA NGUVU ZA KIUME.

Suala la nguvu za kiume kwa sasa limeshakuwa ishu kubwa kwa vijana wengi wa sasa,kwa utafiti uliofanywa mwaka 2013 na shirika la Afya duniani unaonesha kuwa zaidi ya asilimia themanini ya wanawake hawatoshelezwi kimapenzi. Moja ya sababu kubwa inayochangia kutotoshelezwa huku kwa hawa wadada ni tatizo la upungufu wa uwezo wa mwanaume kumnyuka mwanamke kisawasawa ili kumkata nyege kabisa kwa kufika kileleni.
Wanaume wengi wa sasa wamekuwa wabovu kabisa katika kusimamisha mashine zao kiasi cha kuwa hata mdada awe mkali na mwenye mvuto namna gani amejitahidi sana kumtandika basi bao tatu kisha kitu inalala kabisaaa,tena kila bao huchukua dakika mbili tayari amekojoa.
Zifuatazo ni njia chache na salama kabisa za kuamsha nguvu za kiume maradufu.

1.AINA ZA VYAKULA

 Tusidanganyane chakula ndio kila kitu mwilini,vyakula vya nafaka zisizokobolewa ni vizuri sana kuupa uume nguvu kuliko unavyodhani. Hivyo kama ni ugali basi penda sana kula ugali wa dona na sio sembe kwani sembe huwa haina kiini cha njano chenye protini na wanga ambacho ni silaha sana katika kuutia nguvu uume na mwili kwa ujumla.
Matunda pia kama matango,karoti ni muhimu sana katika kujenga nguvu za kiume.Vyakula vingine ni kama mihogo mibichi,magimbi nk. Lazima uwe na utamaduni wa kutumia aina hii ya vyakula katika maisha yako ya kila siku, sio eti leo una mechi na mdada ndio unajifanya kufakamia mamihogo loo siku hiyo!

2.MAZOEZI
Mazoezi ya viungo ni muhimu sana kwani hufanya mwili uwe fit na hivyo huimarisha hata uume na kuufanya usilale kirahisi pale unapokuwa katika show na mrembo. Push up, kukimbia, kurukaruka na mazoezi mengine mengi ni muhimu sana.

3.ACHANA NA UNYWAJI WA POMBE ULIOPITA KIASI
Pombe ni hatari sana na inadhoofisha sana nguvu za kiume hivyo chunga sana unywaji wa pombe uliopitiliza kwani ipo siku utajikuta unamwangalia tu mkeo kama dada ako vile wakati yeye nyege zimempanda balaa,matokeo yake itabidi achapwe na njemba zinazojua shughuli huko nje.

4.ACHANA NA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME
Hizi dawa ni hatari sana hasahasa zile za hospitali kwani maranyingi zimetengenezwa kwa kemikali ambazo huamsha vichocheo mwili kwa muda flani lakini baada ya muda tatizo litaongezeka maradufu kwani ni tiba kwa muda mfupi tu.

5.UWE MAKINI NA UPIGAJI PUNYETO
Hii kitu ni hatari sana hususani kwa wale wanaosugua sana mishipa ya uume hivyo huifanya isiwe ngangari kiasi cha kukusaidia kumshughulikia vizuri mtoto wa kike mwenye nyege zake. Hivyo kama unafanya haka ka mchezo inabidi uwe makini sana usijejutia.

Tuesday 3 February 2015

HAYA NI MAMBO MUHIMU UNAYOPASWA KUMUOMBA RUHUSA MPENZI WAKO KABLA YA KUFANYA.

1.Kuchat kwenye mtandao mara baada ya kurudi nyumbani au kama una kazi za ofisini ambazo inakulazimu uzifanyie nyumbani. Ni vyema
kumuomba mwenzi wako ruhusa kama hatajali kabla ya kukurupuka na kufungua lap top na kuendelea na kazi zako.Ni muhimu kuomba ruhusa kwa mwenzi wako kwa sababu huwezi kujua labda kuna jambo alikuwa anataka mjadili au anahitaji muda wa kuwa na wewe.

2.Kama utakuwa na mtoko na wafanya kazi wenzako au marafiki zako, ni vyema kumjulisha mwenzi wako mapema, ili ajue uko wapi.

3.Kama utachelewa kurudi nyumbani kutokana na jambo lolote ni vyema kumjulisha mwenzako, lakini pia hata kama utakula chakula huko ulipo ni vyema pia kumjulisha mwenzako kwa sababu anaweza akawa amekuandalia chakula kizuri halafu usile kitanuka mbaya. kumbuka, miongoni mwa mambo ambayo yanawakera wanawake ni mwanaume kutokula chakula nyumbani.



4.Kutoa msaada sio kwa vituo vya watoto yatima tu, bali hata kwa ndug zako, kitu chochote iwe ni nguo au chakula ni au vitu vingine ni vyema kumjulisha mwenzi wako kuliko kufanya mambo kimya kimya. Mwenzako atakapojua anaweza kulalamika au akakaa kimya lakini usije ukadhani ni mjinga kuna siku atalipiza kitu ambacho hutafurahiya. 



5.Kuwaeleza mashoga zako kuhusu mipango yenu. Katu usije ukawaambia mashoga zako kwamba mna mpango wa kununua nyumba au kununua gari. Ni vyema mipango yenu ikawa ni siri yenu kwani ikitokea mipango hiyo ikakwama utaishia kuzodolewa na mashoga zako. kumbuka kwamba si kila shoga anapenda maendeleo ya mwingine



6.Ghafla unabadili mtindo wa nywele bila kumshauri mwenza wako. Unaweza kuibua kisirani cha bure katika ushusiano wenu.



7.Kutupa vitu ambavyo unaviona kama uchafu ndani ya nyumba wakti mwenzako alikuwa bado anavihitaji kwa matumizi mengine. Kuna baadhi ya wanawake wanapoamua kusafisha nyumba hutaka kutupa kila kitu anachoona kama ni uchafu bila kumshirikisha mwenzi wake. Ni kosa kubwa, ni vyema kushauriana wakati wa kusafisha nyumba ili kujua ni kitu gani cha kutupa na kitu gani cha kuhifadhi.



8.Kuacha vitu kwa mwenzi wako bila taarifa. Kama mko na mahusiano lakini kila mmoja anaishi kwake, pale unapokwenda kupitisha usiku kwa mwenzako ni vyema ukamuuliza kama unataka kuacha baadhi ya vitu vyako hapo kwake kuliko kukurupuka na kuhamishia wardrobe nyumbani kwa mwenzi wako bila taarifa. Utaonekana kama unalazimisha jambo fulani.



9.Kuombaomba. Kuna baadhi ya wanawake au hata wanaume wanapenda kuombaomba misaada kwa wenzi wao. Kuna wengine wako smart wao hutumia neno, "Niazime" lakini si kwamba wanaazima bali wanaomba na hawawezi kurudisha, ni vyema kuwa wastaarabu na kuweka mipaka, hata kama mtu anataka msaada aonyeshe juhudi zake kwanza ndipo labda uombe msaada na sio kila siku anaomba tu mpaka mtu anakuchoka......