Saturday 8 August 2015

HII PIA NI MUHIMU MNAPOKUWA "FARAGHA"

Ili kuwa mwanandoa mzuri kimapenzi unahitaji kufahamu kwanza tofauti zilizopo kati ya mwanamke na mwanaume.
Kile wewe unapenda kufanyiwa ukiwa chumbani na mwanandoa mwenzako wakati mwingine ni tofauti sana na yeye anapenda wewe umfanyie.
Wanaume siku zote tupo tayari kwa sex any time anywhere, ni kama wote ni ma-genius kwenye eneo la sex.
Bahati mbaya ni kwamba wanaume wengi akishaambiwa sasa ni wakati wa faragha; moja kwa moja full speed kwenye genitals za mke wake na baada ya dakika moja akishapima maji na kuona kuna umande haijalishi ni kiasi gani anaingia bila hata maandalizi ya kutosha eti kwa kuwa yeye umeme umeshawaka.
Je, kwa nini maandalizi ya tendo la ndoa ni muhimu sana kwa mwanamke?
Kuna logic ya kisayansi kwa nini mwanamke huchukua muda mrefu sana ili kusisimka kimapenzi ukilinganisha na mwenzake mwanaume.
Mwanaume ambaye akisisimka uume wake ambao ni kama tube yenye wastani wa inches 6 tu huweza kusimama (dinda) baada ya damu kujaa. Kwa mwanaume rijari au mwenye afya njema kawaida huchukua dakika 2 tu tangu amesisimka na kuweza kufika kileleni.
Kwa upande wa mwanamke eneo ambalo huhitaji kujaa damu ili asisimke ni kubwa zaidi kwani huchukua muda mrefu damu kujaa katika genitals na matiti au tuseme mwili mzima wa mwanamke ni one single sex organ hivyo huhitaji muda mrefu zaidi ili kusisimka.
Kama mwanamke ana mood nzuri ya sex au tuseme ubongo upo wired vizuri kwa sex basi humchukua kati ya dakika 10 hadi 15 kusisimka na kuwa tayari kwa sex.
Cha kushangaza ni kwamba tafiti nyingi zinaonesha kwamba wanandoa wengi huchukua dakika kati ya 10 hadi 15 kwa tendo zima la sex.
Hii ina maana mwanamke anapokuwa amesisimka mume huwa anakuwa alishamaliza na anakoroma na matokeo yake mke huachwa akiugulia kwa hamu ya kutaka zaidi na matokeo yake mwanamke hujikuta hajatosheka na hajafikishwa pale anahitaji kufika.

No comments:

Post a Comment