Wednesday 23 December 2015

JE"WEWE UNALALA VIPI?

Baadhi ya wanandoa hulala na watoto wao kitanda kimoja, wana sababu zao, ingawa mara nyingi watoto nao huwa na kitanda chao na wanandoa nao huwa na kitanda chao na chumba chao.
Je, unaamini kwamba jinsi wanandoa wanavyolala huonesha afya ya ndoa yao?
Chukulia wanandoa wanalala bila watoto.
Swali la kujiuliza je, wewe huwa unalala vipi na mume wako au mpenzi wako na je, jinsi mnavyolala huelezea mood ya jinsi unavyojisikia huo usiku?




1. THE SPOON STYLE
Huu mara nyingi ni mlalo wa miaka 5 ya kwanza ya ndoa, ukiona mwanamke anapenda sana kuangaliana uso kwa uso maana yake ni mtoaji (giver)
Wanandoa wengi hulala kwa kukumbatiana wote pamoja au mmoja kumkumbatia mwenzake.
Ndoa ipo kwenye miaka ya kwanza ya mapenzi motomoto.

No comments:

Post a Comment