Monday 29 June 2015

STYLE NZURI YA KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI?

Kuna wanandoa wengi hata kama hawaridhishwi inavyotakiwa katika ndoa zao kimapenzi bado wamekuwa wagumu kuzungumzia suala la sex kati ya mke na mume au kuomba ushauri.
Pia suala la sex ni muhimu sana katika ndoa kwani ukiridhika katika sex na ndoa utaiona inakuridhisha.

Aina ya mlalo si dawa ya kukusisimua ingawa ni moja ya vionjo ambavyo vinaweza kukufanya uwe na tendo takatifu la ndoa linakuridhisha.
Hata hivyo kutokana na uzoefu pamoja na tafiti nyingi na medical reports nyingi dhahiri kwamba mlalo wa Rear Entry au Doggie Style ni moja ya mlalo unaomridhisha mwanamke na kumhakikishia kufika kileleni (orgasm) bila shaka.

KWANINI?
Kitendo cha uume kukuingia kwa nyuma husaidia kumpa uwezo mwanaume kuweza kukupa thrusting inayokupa raha pia uume huweza kusugua G-spot na kuweza kukumfikisha mwanamke katika utamu na raha isiyotamkika.
Ili uume kufikia G spot ni lazima uume uingie huku uke ukiwa angled na hii doggie style ndiyo mlalo perfect.
Pia ukifika kileleni kwa kuguswa G spot utataka zaidi na utaingizwa kwenye ulimwengu mwingine kabisa wa raha ya mapenzi.

Zaidi pia ni kwamba mwanaume anakuwa na uwezo wa kuwa huru kuendelea kuchezea (rub) kisimi, kuchezea matiti (chuchu) hasa kama hivi vyote vinakusisimua na kama mpo portable mnaweza kuendelea kupeana kisses huku kila kitu kikiwa kinapaa kwenda hewani.

Hii ni deep penetrative sex ambayo mwanaume huwa dominant na mwanamke huwa submissive hivyo ni mlalo natural.

Pia muungano wa miili miwili kugusana kimahaba husaidia mwanaume kuona mwili wa mwanamke kwa nyuma na kama mwanaume ni mgonjwa wa kuona matako ya mke wake (fahari ya mwanamke) basi itakuwa dawa sahihi kwake kukupeleka mwendo wa mbali zaidi kwa yeye mwenyewe kusisimka kwa kuona vitu au kitu.

Zaidi pia shaft ya uume wa mume huweza kutoa sensation ya ajabu kwenye vulva kiasi cha mke kupata raha ya ajabu.

Kawaida mwanamke huweza kufika kileleni kwa njia ya kisimi, G-spot na uke wenyewe, hivyo hii style inaweza kukupa vyote kwa wakati mmoja. Kutofika kileleni kwa sytle ya aina hii ni kweli hapo kutakuwa kuna tatizo kubwa.

Pia wakati wa kupeana mahaba mwanaume hujikuta balls zake zinagusa uke au kisimi na hii inaweza kukupa raha kama si kukufanya uwe wet zaidi na zaidi hahaha over and over!
Je kuna mlalo mwingine zaidi?
Ni kweli tendl la ndoa ni sanaa hivyo ubunifu ni kitu cha msingi kabisa, mlalo mwingine ni ule wa front to back/spoons (mke na mume kulala kama vijiko vinavyopangwa kwa maana kwamba wote mnalala (kiupande)kuelekea upande mmoja kwa mume kulala nyuma ya mke na kumwingia kiubavu kwa nyuma).
Hii pia huweza kuleta matokeo sawa na ile ya doggie style au rear entry.

MUHIMU.
Jambo la msingi ni kwamba ili kuwa na tendo la ndoa linaloridhisha kuwa na maandalizi ya kutosha ndiyo jambo la msingi (foreplay) si suala la kukimbilia haraka doggie style wakati hamjasisimuana vya kutosha.
Na mawasiliano ni jambo la msingi kabisa.

No comments:

Post a Comment