Monday 29 June 2015

MAENEO MUHIMU KTK MWILI WA MWANAUME.

Wengi hudhani mwanaume ana sehemu moja tu ya kusisimuliwa kimapenzi yaani uume, labda kwa sababu wao mara nyingi umeme huwaka haraka mno na kusababisha sehemu zingine zisivumbuliwe, unahitaji kuwa mbunifu ili uweze kuwasha moto unaotakiwa hasa kwa ajili ya foreplay.

KICHWA
Hapa tunazungumzia kichwa kilichopo juu ya shingo, wapo wanaume ambao unapopitisha vidole vyako laini ndani ya nywele zake kichwani hujisikia kusisimka sana hata kama anakipara wapo ambao ile kuguswa tu (massage) hupata raha kubwa sana.
Kibaolojia kwenye kichwa kuna homoni inaitwa endorphions inayohusika na kutoa raha kwa kuguswa (massage) hufanya kazi unapofanya hicho kitendo.

MASIKIO
Unaweza kubusu au kunyonya masikio yake taratibu kisha angalia ana respond namna gani. Pia unaweza kumnong’oneza au kutoa sauti yoyote unayoijua wewe ndani ya masikio yake na chunguza kama anapata raha au la.

MIDOMO YAKE.
Si kubusu tu bali pia unatakiwa kuienzi na kuendelea kuvumbua kuona ni jinsi gani anaweza kupata utamu zaidi kwa hizo lips zake.

SHINGO.
Busu shingo yake pande zote na pia unaweza kubusu kama unanyonya vile shingo yake, hakika atapenda.

MGONGO.
Wanawake wengi hupenda wanaume wenye misuli ya uhakika mgongoni na kifuani, lakini wakiwa faragha hawaifanyii chochote hivyo kifua na migongo yenye misuli, unahitaji kumpa massage au kumbusu mgongo wote kuanzia juu ya mgongo kupitia uti wa mgongo hadi chini.
Uti wa mgongo una nerves nyingi na ukifanya kwa ubunifu basi raha atakayopata ni ya ajabu.

MIGUU.
Wanaume wengi huwa hawajisikia vizuri kubusiwa au kufanyiwa massage miguu yao, hiyo inatokana na yeye mwenyewe alivyo, kitu cha msingi uliza kama anapenda au la kwani kuna wengine hujisikia raha sana.

SEHEMU ZA SIRI.
Huko unajua nini kinatakiwa na malizia mwenyewe!

No comments:

Post a Comment