Monday 29 June 2015

FAHAMU UTAMU HUU WA MWANAMKE.

Divine nectar ni
Kama maji vile ila ni fluid inayotokana na mfumo urogenital pamoja na glands za prostatic za mwanamke.
Huitwa divine nectar au Amrita au the foutain of youth.
Wapo wanawake ambao akifika kileleni (G- spot stimulation) huweza kutoa fluid mfano wa mkojo kupitia urethra huwa na sweet smell, huweza kujaa hata kikombe cha chai na huruka umbali wa futi hata 8 na kugonga ukuta wa chumba.

Huu si mkojo na ni haki ya kuzaliwa ambayo mwanamke amepewa na muumba wake hasa linapokuja suala la kufurahia mapenzi na mumewe.
Pia haya maji maji huitwa Amrita au Divine Nectar, au Fountain of Youth huu si mkojo hata kama hutoka kupitia njia ya mkojo ya kawaida.

Hiki ni kitu cha kawaida kwa mwanamke yeyote ambaye anapata mapenzi ya kweli na kukubali hisia zake na kufahamu mwili wake unavyofanya kazi akisaidiana na mpenzi wake.
Hii divine nectar imefahamika pia huweza kutokea hata pale mwanamke akifurahi jambo lingine na si lazima iwe mapenzi tu.
Hujasikia mwanamke alifurahia jambo akacheka na kutoa machozi na kukojoa?

Kila mwanamke anayo potential ya kutoa amrita au divine nectar ila ni pale tu atakapojifunza ku-surrender mwenyewe na kuwa na furaha ya kweli.

Wataalamu wa mambo ya mahusiano ya kimapenzi wanandoa wameweza kuhusanisha suala la sex kwamba ni kimwili, kihisia na kiroho.

Mwanamke huweza kufikishwa kileleni kimapenzi kwa kusisimuliwa kisimi (clitoris), uke au G- spot.

Tofauti ya mwanamke kufika kileleni kwa kuchezewa kisimi ni kwamba ile raha huja ghafla kama mwanaume anapofika kileleni,wakati kufika kileleni kwa uke au G-spot mwanamke hujisikia raha kama mawimbi (waves) kwenda mwili mzima.

Ndani ya uke sehemu ya juu ndani ya ukuta kati ya kufunguka kwa uke na cervix kuna eneo ambalo huitwa G spot na hili eneo liligunduliwa na Gynecologist Ernst Grafenberg mwaka 1944.

Hili eneo huweza kukua na kuhama ambalo wengi huliita ni sacred spot kwa mwanamke huweza kutunza kumbukumbu na hisia za kuumizwa (hurts and pains), infections, abortion, sexual abuse, magonjwa na kitendo cha kutotaka sex na kama hakuna healing huweza ku-shut down na kushindwa kutoa divine nectar.

Ili mwanamke aweze kutoa divine nectar ni lazima hili eneo liweze kuponywa au kuwa activated upya na mwanaume.
Activation hufanywa kwa mwanaume kumfanyia massage zaidi ya mwezi kwa kwa muda usiopungua nusu saa kila wakifanya mapenzi huku mwanaume akimpa mpenzi wake gentle and compassionate love making.

No comments:

Post a Comment