Monday 29 June 2015

MAENEO MUHIMU KTK MWILI WA MWANAMKE

KICHWA
Kwenye kichwa kuna homoni za endorphins zinazofanya kazi ya kutoa raha (pleasure) hivyo mwanamke kuchezewa nywele zake hapo atayeyuka tu, ingawa si wote hujisikia raha.

MIDOMO (LIPS)
Kubusu ndiyo mlango wa kwanza katika kuingia katika mwili wake. Lips ndipo mahali ambapo ni kiini cha ubongo kumsisimua mwanamke (Brain’s arousal center).
Kama unajua vizuri jinsi ya kumbusu kwa utundu wote basi ni dhahiri kwamba busu analopata linaenda mbali zaidi na kumpa raha ya ajabu.
Ni vizuri ukajua jinsi ya kutumia ulimi na meno yako vizuri kumfikisha pale anahitaji kufika.
Wanawake wengi hupenda busu na unaweza kutumia muda wa kutosha kubusu kwa kadri anavyotaka, na mwanaume akisisimka rangi ya lips hubaridika na kuwa red zaidi.

SHINGO
Usisahau kutumia mikono yako pia, tumia ulimi wako na meno kugusa shingo yake huku ukiongea maneno matamu.
Pia unaweza kubrush lips zako kwenye kidevu chake.

MASIKIO
Baadhi ya wanawake hupenda sana kunyonywa masikio, kubusiwa, na kulambwa pia na unaweza kubusu na kunyonya sikio kama vile unavyonyonya chuchu zake ni dhahiri kwamba kama yeye yupo sensitive kwenye masikio basi atapata raha ya ajabu.
Na kile kitendo cha yeye kujisikia unapumua kwenye masikio yake basi ananyegeka.

KIUNO
Kiuno ni hot spot kwa mwanamke, busu kiuno na tumia mikono yako kukipa mgusu wa kimahaba, tumia ncha za mwisho za vidole kumgusa kama vile una reki.
Usiwe na mikucha mirefu maana unaweza kumuumiza.

MATITI NA CHUCHU
Hapa kila mtu anajua sana, matiti husisimka sana hasa kama utayachezea vizuri kwa kuyabusu, kuyalamba, kuyanyonya; ingawa ni vizuri kuwa makini na jinsi yeye anavyojisikia na uwe makini kujua yeye anataka ufanye vipi.
Wataalamu analinganisha kusisimka kwa chuchu ni sawa na kisimi hivyo ni muhimu kutumia utundu wote kumpa raha mpenzi wako hasa kama chuchu zake ni sensitive na zinampa raha zaidi.

TUMBO
Wakati unaendelea kumbusu kila sehemu ambazo unaona anapenda, unaweza kuendelea kuchezesha ncha za vidole vyako kwenye tumbo lake huku ukichora duara kwenye kitovu chake na kwa utundu na kuzunguka tumbo, wapo wanawake hupata raha sana kwa kitendo hiki.

NYUMA YA MAGOTI NA MAPAJA
Nyuma ya magoti kuna nerves na unaweza kushangaa mwanamke anavyojisikia raha kwa kupata busu, hasa busu la kipepeo.
Pia sehemu za mapaja ni sensitive kama utabusu, massage na kupitisha vidole kwa utundu (caress) wa kumpa raha.
Usipokuwa makini unaweza kuona anakulazimisha upeleke mkono kwenye machimbo haraka iwezekanavyo kwani atakuwa tayari ameshaanza kuzidiwa.

MIGUU
Wanawake wengi hupenda miguu yao kuguswa (touch) massage na wengine kubusu au hata kuinyonya.

MATAKO
Wanawake wengi hufurahia kuchezewa matako kwa kuyafinyangwafinyangwa.

MGONGO
Wapo wanawake hufurahi sana kufanyiwa massage na caress kwenye mgongo, anaweza kulala au wewe kuwa nyuma yake na tumia ncha za vidole vyako kuhakikisha unampa mguso wa uhakika kama vile una reki kutoka juu ya mgongo mabegani hadi chini kabisa kiunoni.

SEHEMU ZA SIRI
Hapo kuna uke na kisimi na ni dhahiri unajua nini kinatakiwa kufanywa hapo

No comments:

Post a Comment