Monday 29 June 2015

KUSISIMULIWA KIMAHABA

Kila mtu ana maeneo yake muhimu kusisimka akiguswa.
Weka kwenye akili zako kwamba forepaly kawaida ni dakika 20 ili kufikia uwezo Mnaouhitaji kwa ajili ya tendo la ndoa linaloridhisha.
Usiwe na haraka, tumia muda kuenjoy pamoja na mpenzi wako.
Pia ifahamike kwamba si kila mtu husisimka sehemu sawa na mtu mwingine, kila mtu anasehemu zake maalumu ambazo zina msisimko kuliko sehemu zingine hivyo ni vizuri kuwa na mawasiliano mazuri ili kila mmoja afurahie maandalizi ya tendo la ndoa

No comments:

Post a Comment