Friday 26 June 2015

FAHAMU HAYA KUHUSU MWANAUME

Wakati mwingine ni vigumu sana kwa wanawake kufahamu ni kiasi gani hamu ya kufanya mapenzi ilivyo kwa mwanaume.
Ingawa wanaume hutofautiana katika kiwango cha hamu ya mapenzi bado wanaume wanaonekana wapo juu katika hamu ya mapenzi kuliko wanawake.
Wataalamu wa masuala ya mapenzi (sex) wanasema kwamba mwanaume ni mtu wa mzunguko wa siku tano ( kwa maana kwamba huhitaji sex kila baada ya siku tano) na wakati huohuo mwanamke ni mtu wa mzunguko wa siku kumi ( kwa maana kwamba huhitaji sex kila baada ya siku kumi), kuna kaukweli fulani katika hili.
Hata hivyo kuna wanaume wengi sana hasa vijana wao hupenda kupata sex ikiwezekana kila siku na pengine wangependa iwe zaidi ya hapo kama miili yao ingeruhusu.
Je, hii ina maana gani kwako mwanamke?
Hii ina maana kwamba mume wako anapenda sana sex.
Pia anawaza sana kuhusu sex kila mara kuliko wewe unavyowaza kuhusu sex.
Haijalishi ni gentle and romantic kiasi gani lakini mwisho wa siku anachowaza ni kufanya sex na wewe.
Kwa kuwa ana drive kubwa ya sex kuliko wewe na anajisikia kufanya mapenzi na wewe, ukimzungusha anaweza kuchukua risk kubwa sana ya masuala ya sex bila kujali consequences zitakazompata (kutokuwa mwaminifu kwako, kulipa fedha apate sex nk).
Pia fahamu kwamba mwanaume humpenda mwanamke kwa mtindo wa vipande vipande kwa maana kwamba anaweza kuvutiwa na namna mwanamke anaonekana sura yake, miguu yake, matiti yake, meno yake akicheka, kiuno chake, makalio yake na wakati mwingine hata perfume ambayo mwanamke amejipiga.
Hivyo basi kama wewe ni mwanamke unasoma hapa hata siku moja usitanie kuhusu nguvu aliyonayo mume wako kuhusu sex.
Unatahadhalishwa!

No comments:

Post a Comment