Wednesday 10 June 2015

NJIA ZA KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI.

Ni wazi kuwa kuna wanawake wengi wanaofanya tendo la ndoa kila siku,lakini ni wachache sana wanaopata nafasi ya kufika kileleni..

Ni ngumu sana mwanamke kufika kileleni ikiwa mwanaume hatajua njia sahihi na sehemu za kumfanya mwanamke wake afike kileleni..
Hapa nitawaletea njia ambazo zitamfanya mwanamke aweze kufika kileleni..

1. KUFIKA KILELENI KWA NJIA YA KISIMI..

Njia hii ni pale hisia za raha ambazo ni zaidi ya kawaida,zinaanzia kwenye kisimi,zinatengeneza mawimbi ya utamu na kuyasambaza mwili mzima hadi kwenue ubongo.Kwenye uke wa mwanamke kuna sehemu 4 ambazo zimejaa nerves ambazo husababisha mwanamke apate raha sana wakati wa kupeana utamu,na mojawapo kati ya sehemu hizo ni kisim.Ingawa ni kweli kisimi ndo kimejaa utamu na raha sana,lakini wanawake wanatofautiana linapokuja suala zima la kumsisimua la mwanamke kupitia kisimi chake.Wengine inabidi utumie nguvu kidogo,wengine kawaida na wengine taratibu kutegemeana na usensitive wa visimi vyao.

Zipo njia mbili kuu za kumfikisha mwanamke kileleni kwa kutumia kisimi.

1) KWA KUTUMIA KIDOLE.
Kwa kutumia njia hii hakikisha vidole vyako ni visafi na kucha zako fupi sana.
Kabla hujaanza kumsisimua kisimi chake hakikisha umeshatumia zaidi ya dk 10 kumsisimua maeneo mengine ya mwili wake kama vile matiti,lips,mapaja,makalio nk.
Kwani inatakiwa uke wake uwe umeloa kabla hata hujaanza kusisimua kisimi chake chake.
Tumia majimaji ya uke kukilowanisha kidole chako kwani ukimchezea wakati uke wake ni mkavu utaishia kumuumiza badala ya kumpa raha.
Anza kusugua kisimi chake taratibu huku ukiangalia kwa makini jinsi anavyopokea.
Baada ya dk 1,ongeza speed kidogo kisha angalia jinsi anavyolipokea zoezi hilo.
Usiongeze na kupunguza speed mara kwa mara unaweza ukampotezea mood kwani ataishia tu kusikia raha lakini hatofika kileleni..
Sugua kisimi kwa mpangilio unaoeleweka kwa zaidi ya dk 10 bila kubadilisha ili asipoteze mood katikati ya safari yake ya kufika kileleni,kama ulikuwa unasugua kwa kutengeneza duara basi fanya hivyo mpaka dk 5 ziishe,kama ulikuwa unasugua kutoka juu ya kisimi kwenda chini chini au chini kwenda juu,basi fanya hivyo mpaka dk 5 ziishe ndio ubadilishe.
Uvumilivu ndio siri ya mafanikio,kwa sababu mpaka afike kileleni ni baasa ya dk 10 au 15 kutegemeana na kisimi chake kipo sensitive kiasi gani au yeye mwenyewe ana hamu kiasi gani...

Njia ya pili ya kumfikisha kileleni kwa kutumia kisimi ni ya shortcut zaidi..hii ni ya kutumia ULIMI...tutaendelea nayo next time

No comments:

Post a Comment