Sunday 24 January 2016

AINA ZA WANAUME WANAOMALIZA HARAKA NA SIFA ZAO.

AINA YA 1.
Huyu hajijui kama ni mtu wa kumaliza haraka (dakika 2), anapotaka mapenzi anamuita mke wake, then akishamvulia nguo ni kuingiza na fanya dakika 2 amemaliza, hajali lolote, hajui mwanamke ana kitu kinaitwa kufika kileleni, hajawahi kusikia na hana mpango wa kujua, anajua anachofanya ni sahihi.
Tendo la ndoa akijitahidi ni dakika 5

AINA YA 2.
Anajua sana kwamba mwanamke anatakiwa afike kileleni ila anajifanya hajui. Tofauti na (Aina 1) hapo juu, yeye akiona mwanamke anaugulia kwa kuachwa solemba yeye hujifanya ndo mwanamke amefika kileleni, na wala haulizi kwa mke wake kama hivyo ndo kufika kileleni ili apate ukweli.

AINA YA 3.
Anajua tatizo lake, hafurahii kabisa hii hali na anataka kumuona Daktari ila anaona aibu na anasema hana muda wa kwenda kumuona Daktari au mshauri yeyote wa mambo ya Ndoa. Anajitahidi kwa kumuandaa mke wake kwa kubusu na kumpa migusu ya kimahaba ya kila aina, Ila yeye akiwa tayari tu anaacha kuendelea kumwandaa mke wake na badala yake anaingiza na kumalizia then imetoka, hafurahii ile hali ila ndo hivyo maisha yanaenda.

AINA YA 4.
Huyu anajua tatizo lake na pia anajua umuhimu wa mke wake kufika kileleni;
hivyo anaanza kwa kumpa mke wake romance ya uhakika hadi anafika kileleni kabla hajamwingilia.
Akiona mke yupo katika hali inayoonesha ameridhrika na amefika kileleni kwa njia za stimulation ndipo na yeye anaanza kufanya mapenzi kisha anamaliza huku mke wake amefurahi kwani amefika kule kunatakiwa.

Hii ina maana kwamba kama mwanaume ni mjanja na ana akili ya kujua yeye ni mtu wa kuwahi kumaliza na anamwandaa mke wake hadi anaridhika, basi kwa ke kuwa mtu wa kumaliza mapema haina tatizo na anaweza kuwa na mahusiano mazuri na yenye furaha katika mapenzi na mke wake huku juhudi zingine za kumuona daktari na maombi zikiendelea.
Pia afahamu kwamba hahitaji kuwa mchoyo na mtu wa kujitanguliza yeye (selfish) na badala yake kumtanguliza mpenzi wake afike kileleni kwanza badala yake.

Kiukamilifu; kufanya mapenzi vizuri kwa mwanamke ni penis ya kawaida, kumuandaa vizuri na kwa muda wa kutosha, busu za kutosha sehemu anazopenda, kumpa mgusu wa mwili kwa mikono yako sehemu zote zinazompa raha ya mapenzi, kukaa ndani yake kwa muda mrefu huku akipata msuguano wa muda mrefu na kwa mwendo anaotaka yeye kutokana na anavyoitikia, kujua mikao yake ya mapenzi anayopenda ili kupata raha zaidi na zaidi kufahamu na kumpa kile anahitaji ili kufika kileleni.

Kumbuka kama amawahi kufika kileleni maana yake anajua vionjo muhimu vinavyoweza kumfikisha kileleni hivyo mwanaume mbunifu wa mapenzi lazima unamsikiliza yeye akuongoze kule anataka kwenda kwani kwa mwanume kufika kileleni kwako ni kitu ambacho kipo.

MWISHO.
Je mwanamke unawajibu gani katika kuleta usawa kuhakikisha utendaji wa mapenzi unakidhi haja yako?

JIBU:-
Unahitaji kuwa wazi kuongea na kuelezea kile Unahitaji kufanyiwa tena kwa uwazi na uhuru. Usibaki kimya na kulala tu usingizi wakati wa tendo ndoa ukidhani kwamba utafika kileleni, ongea kwa mumeo mwambia kwa upendo kabisa nini Unahitaji, kwani ukipoteza hamu ya mapenzi basi hii raha ya mapenzi sahau kabisa kwani unakuwa umechimba shimo ambalo huwezi kutoka.

No comments:

Post a Comment