Friday 25 March 2016

JIAMINI..

Fikiria wewe ni mwanamke na upo uchi mbele ya kioo chumbani,
Je, unapenda vile unajiona nywele, pua, matiti, tumbo, hips, mapaja, sehemu za siri?
Kama unajiona upo beautiful hongera mikono juu kabisa, na kama huridhiki pole hujiamini.Mwanaume huweza kusimamisha uume kila dakika 15 akiwa amelala usiku na mwanamke huweza kutoa majimaji (lubrication) kwenye uke wake kila dakika 15 akiwa amelala.

Binadamu ni wanyama pekee ambao hamu ya kufanya mapenzi au kufanya mapenzi (sex) si kwa ajili ya kuzaliana tu bali kupena raha ya kimahaba (sexual pleasure)

Pia Clitoris (kisimi) ni kiungo pekee katika mwili wa mwanamke kipo kwa ajili ya kumpa raha ya mapenzi, hakuna kazi nyingine ni hiyo tu.

Raha ya sex kwa mwanamke si katika uke tu kama alivyo mwanaume kwa uume wake bali ni zaidi ya hapo yaani mwili mzima.

Data zinaonesha kwamba wanawake ambao wamepatwa na matatizo ya ut wa mgongo (spinal cord injuries) na hawawezi kuhisi kitu chochote kuanzia kwenye kiuno kushuka chini bado wana uwezo wa kufika kileleni
Sababu kubwa ni kwamba ubongo hupokea hisia (feelings) za kusisimuliwa kimapenzi kupitia njia zingine nje ya uti wa mgongo hasa mwanamke anapochezewa matiti au kissing nk.
Hii ina maana mwanamke mwili mzima ni single sex organ tofauti na wanaume wanaowaza kwamba ili mwanamke afurahie mapenzi ni lazima uhakikishe unachimba vizuri Gold kule bondeni.

Quality ya mapenzi katika ndoa si mara ngapi mnafanya kwa siku au kwa wiki au kwa mwezi au kwa mwaka bali ni kuridhishana au kuridhika kwa wahusika kutokana tendo lenyewe.

Jamii inawadanganya wanawake kwamba wakiwa na sura fulani, au uzito fulani watakuwa wazuri katika mapenzi.
Thubutu, Mwanamke yeyote akiwa uchi mwanaume yeyote humuona ni mrembo na huchanganyikiwa kabisa.
Haina haja kuzima taa au kutaka giza eti kwa kuwa matiti yako ni makubwa mno au madogo sana, au mwili umenenepa sana au mwembamba sana, au ngozi upo tofauti na unavyodhani.
Ukiwa uchi tu mwanaume hukuona bonge na beautiful woman.

Pia jamii inapotoshwa kwamba kitendo cha mwanaume kusugua uke kwa uume wake kwa kila aina za style ni tendo linalompa mwanamke raha ya mapenzi.

Ukweli si wanawake wote hufikishwa kileleni kwa uume kuwa ndani ya uke tu (clitoral and viginal stimulation) bali kwa mwili mzima kama single sex organ na pia kuandaliwa kwa muda unaotakiwa.

Jamii imezungukwa na tamaduni zinazofanya mwanamke kujiona akiwa na shape Fulani au size Fulani ndipo atafurahia sex kitu ambacho ni kweli kwani ili mwanamke afurahie sex kwanza lazima ajifahamu mwenyewe na kuufurahia mwili wake kama ulivyo kujiamini kuhusu self esteem na body image yake.

Kuna asilimia zaidi ya 50 ya wanawake huwadanganya waume zako kwamba wamefika kileleni kitu ambacho si kweli ili mambo yaishe.
Kwa nini wanadanganya?
kwa sababu wanaume wengi huwa hawawaandai vizuri so anaona afahadhari aone amefikishwa maana lengo la wanaume wengi huwa kumfikisha mwanamke kileleni na si kumpa raha ya mapenzi.

No comments:

Post a Comment