Thursday 11 February 2016

MAHUSIANO YENYE AFYA.

Kuwa na mahusiano yenye afya kwenye ndoa au uchumba huhitaji nguvu za ziada wakati mwingine.
Hakuna kitu kizuri kama kuwa na mahusiano bora.
Pia hakuna kitu kizuri kama kupendwa na Yule unayempenda.

Hata hivyo kazi inahitajika kuhakikisha mapenzi yanadumu na kudumu kwani kuna milima na mabonde.
Pia bila kuvumiliana, kuchukuliana na kumtanguliza mwenzako kwa kusameheana na kutiana moyo bado mahusiano yanaweza kufika mahali yakashindikana.


posted from Bloggeroid

No comments:

Post a Comment