Wednesday 18 November 2015

NI SEX TU?

Kila unaporudi nyumbani unakutana na mkeo anatabasamu namna hii mlangoni?????

Sex si sababu ya msingi au motivator kwa ajili ya mwanaume kutoka nje ya ndoa yake bali ni kukosa emotions, feelings katika ndoa yake.
Yapo magazeti, TV, Movies, blogs, radio na media zingine zinapiga kelele kwa sauti kwamba kukosekana kwa great sex ndiko kunawafanya wanaume kutoka nje ya ndoa zao hata hivyo tafiti ambazo zinakubaliana na Biblia na sayansi pia zinaonesha si sex bali emotions.
Ni kweli kwamba sexual skills, au ufundi wa kufanya sex huleta ladha na utofauti chumbani hata hivyo linapokuja suala la ndoa mambo ni tofauti.
Hitaji kubwa la mwanaume ni kuheshimiwa (respect, appreciation) kutoka kwa mke wake.
Mwanaume yupo wired kujiona ni winner na kitendo cha kukosa respect au appreciation nyumbani humfanya kujiona ni loser, failure na matokeo yake hujiona hapendwi na hujiweka mbali na mke.
Hii ina maana mwanamke anapoona mambo hayaendi sawa ndani ya nyumba kubadilisha sexual style si move nzuri ukilinganisha na kubadilisha namna unavyompa respect na appreciation.
Ili kumlinda mume asitoke nje jambo la msingi ni mara ngapi mume anapata sex na si ufundi au umaridadi ulionao katika kumzungusha kitandani.
Kabla ya kujikanyaga ili kupunguza uzito, dieting au kufahamu style mbalimbali za love makini ni muhimu sana wewe mwanamke kujua unakuwa available kwake mara ngapi kwa wiki au mwezi.
Hujasikia huu msemo:
Mume akipewa sex anakuwa so nice kwa mke wake na asipopata sex anakuwa jeuri.
Mwanaume akiwa appreciated na respected anajiona ni winner na moja ya sababu ya kumpa appreciation ni kumpa sex mara nyingi achana na suala la skills kwanza.
Je, anapokuwa nyumbani unaongea naye vipi?
Hasira, kukefyakefya au kunung’unika na kulalamika tu kwa kila jambo?
Je, unamshukuru na kumpa appreciation kwa kazi zile Anafanya hata kama ulitegemea uwe wajibu wake?
Je, unamsukuma kwa kila jambo unalotaka wewe afanye na hakuna tofauti kati ya mtoto na yeye?
Je, anapofika mlangoni jioni anaoporudi kazini unaonesha sura ya huzuni, hasira, kukata tamaa hadi anajisikia vibaya na kujiona hapo nyumbani yeye ni failure.
Kumbuka wewe mwanaume usipomfanya ajisikia vizuri basi mwanamke mwingine anaweza kufanya ajisikia vizuri na ikawa hatua moja kuelekea kuzamisha ndoa yako.

No comments:

Post a Comment