Sunday 22 November 2015

"ONE FOR THE ROAD"!!

Moja ya tofauti kati ya mwanamke na mwanaume katika suala la tendo la ndoa (kuwa mwili mmoja) ni kitendo cha mwanaume kupenda kufanya mapenzi asubuhi anapoamka na mwanamke kuweka muda maalumu kufanya mapenzi usiku kabla ya kulala.

Kwa mwanaume kupenda sex asubuhi huchochewa na kitendo cha kusimamisha bunduki yake zaidi ya mara tano usiku na anapoamka asubuhi (kitaalamu wanaita Nocturnal penile tumescence – NPT) na wengine huita morning glory au morning wood.
Hii kitendo cha mwanaume kuamka huku amesimamisha kwanza ni kuonesha kwamba ni rijali na pili hupelekea kuwa na sababu nzuri ya kumshawishi mke kuwa na morning glory kabla ya kuwahi kazini.

Hata hivyo mwanaume anahitaji kuwa makini kwani mke anaweza kuwa hata hajafungua macho na mzee anataka, approach unayotumia ni muhimu ili na yeye aweze kukubaliana na kufurahia kupeana one for the road.

Wengine Wanasema kufanya mapenzi asubuhi huweza kuelezea good day na great day.

Ukweli ni kwamba homoni za testosterone huhusika na masuala ya sex kwa mwanaume moja kwa moja na ingawa hizi homoni zinapatikana kwa mwanamke bado mwanamke ana homoni zingine zinazomsaidia masuala ya sex.

Hizi homoni hupenda na kushuka kwa vipindi tofauti yaani mchana usiku na asubuhi, kuongezeka kwa homoni huwa mkubwa wakati wa asubuhi basi utapenda kuwa na sex asubuhi kuliko usiku na kama huongezeka usiku basi utapenda sex usiku na kama huongezeka mchana basi utapenda sex mchana hii ni pale tu kuongezeka kwa homoni kunapokupa hamu.

Ni kwamba binadamu ni complex individuals, hata kama homoni huweza kuathiri tabia zetu linapokuja suala la mapenzi bado si factor muhimu inayotakiwa kuzingatia jinsi tunavyopenda na kuishi na wapenzi wetu.

No comments:

Post a Comment