Tuesday 14 July 2015

WANAUME TU.

Kama wewe ni mwanaume ni dhahiri unajua umuhimu wa kufanikisha utundu wakati wa tendo la ndoa.
Utundu katika sex ni kitu ambacho hupelekea kuwa na siku zenye kumbukumbu tamu na siku zenye kumbukumbu ovyo kabisa.
Pia utundu wako ndio unaokupa njia ya kufanya mke wako afurahie sex au kuona kitu cha kawaida na kuwa mbali nacho kabisa.

Kama mwanaume techniques zifuatazo hutakiwi kuzikwepa kabisa siku zote ukitaka sex iwe kitu kitamu na mpenzi wako.

JIFUNZE KUCHELEWA KUFIKA KILELENI
Kuwahi kukojoa mapema (ejaculation) ni muuaji mkubwa wa faragha na huhitaji kufanyia kazi kurekebisha hii tabia. Kama unawahi kufika kileleni kabla ya mpenzi wako au kufika pale ambapo mpenzi wako anahitaji basi Unahitaji kupata solution ya kudumu. Inawezekana kupata jibu hata kwa wiki au mwezi na ukawa unafika pale panatakiwa.
Hakuna kitu huumiza wanawake kama kitendo cha wewe kumaliza dakika mbili na kumwacha akiwa bado ana hamu na zaidi sana akiugulia kumuacha solemba kwa kumuonjesha utamu ambao hakumalizia.

FAHAMU SEHEMU AMBAZO MWANAMKE ANASISIMKA
Kila mwanamke ana sehemu ambazo husisimka zaidi na kupelekea kunyegeka na kuwa na hamu na kutana tendo la ndoa, mwanaume Unahitaji kujua ni sehemu ipi mke wako husisimka zaidi ukizingatia kwamba kila mwanamke ana sehemu yake. Mwanamke mwingine akiguswa viganja vya mikono tu chini analowa kabisa, na mwingine ukigusa matiti mtakosana maana unamuumiza. Mwanaume mtundu katika mapenzi hujua mke wake anasisimka na kuwa hoi akichezewa wapi.
Ukishafahamu ni sehemu ipi na inafanywa vipi ili asisimke basi huna budi kutumia muda wako wa foreplay kumpa bibie tamutamu yake hadi aridhike kwamba ana mwanaume anayemjali na si kurukia tu kule chini Afrika ya kusini na kuanza kuchimba dhahabu bila hata kujua mgodi wenyewe upoje.

UBUNIFU
Wanawake wengi katika ndoa na mahusiano hulalamika sana hasa kutokana na kukosa msisimko wa mapenzi wakati wa faragha. Wanalalamika kwa kuwa wanaume kila siku hutoa kitu kilekile, anakubusu, anakugusa kidogo na akiona chini kumelowa tayari anachomeka kama anapigilia misumari na ikiingia tu anapigilia akiona tayari huyo amemaliza na kuondoka zake.
Wanawake wanapenda surprise na kusisimuliwa katika njia mpya, mwanamke anahitaji kitu kipya baada ya muda, anahitaji sex position mpya, anahitaji busu jipya, anahitaji kunyonywa kupya na anahitaji kusikia neno kipya kwenye masikio yake.
Ni juu yako wewe mwanaume kujifunza mbinu mpya na kuwa mbunifu kitandani, wanaume ndivyo tulivyo tunahitaji kuwa wabunifu, fanya kitu kipya ambacho kitamfanya mwanamke ajisikia ana mwanaume ambaye ni MWANAUME

No comments:

Post a Comment