Sunday 11 October 2015

WANAWAKE TU.

Sabuni nyingi ambazo ni medicated huwa na kiasi kikubwa cha pH na kusababisha upungufu wa lactic acid (vulava & vagina) na huharibu mazingira ya asili (flora) na kupelekea kupata maambukizi kuliko kuzuia
Mwili wa Binadamu kawaida una pH kati ya 6.0 hadi 7.0
Uke kawaida huwa na pH kati ya 4.0 hadi 5.5 pia uke hutoa majimaji (secretion) yanayojulikana kwa jina la lactic Acid ambayo ni muhimu sana kuhakikisha mazingira katika uke yanakuwa na kiasi kidogo cha pH (Acid nyingi).
Kuwa na kiasi kidogo cha pH maana yake ni kuwa na acid nyingi ambayo husaidia kuondoka bacteria wasio rafiki wa mazingira ya uke, kwani maeneo yanayozunguka uke (vagina & vulva) yamezungukwa na ma mazingira ya ki-acid ili ku-balance viumbe (micro organisms) ambayo wanaishi kwa urafiki na kutokuwa na acid ya kutosha husababisha viumbe wasio rafiki (bacteria) kuleta maambukizi ambayo huweza kusababisha harufu mbaya hatimaye ladha chungu.
Sabuni nyingi za kuogea hata medicated, zina kiwango kikubwa cha pH kutoka 6.0 hadi 14 na hii huwezesha kuyapa challenge mazingira yanayozunguka uke na asili yake na husababisha maambukizi zaidi kuliko kusaidia kupunguza maambukizi.
Ndiyo maana kwa mwanamke kutumia medicated soaps ambazo zina pH 6.0 hadi 14 mfululizo si dawa bali ni kutaka kutengeneza mazingira ya maambukizi zaidi kwa bacteria kwa sababu hakuna acid tena kwa ajili ya kuzalisha lactic acid inayoyapa mazingira ya uke asili ya kupambana na maambukizi.

Katika ulimwengu wa sasa kuna sabuni maalumu kwa ajili ya wanawake kusafisha genitals zao na hizi sababu zina pH ndogo ambayo haiwezi kuathiri uwepo wa lactic acid na hizi sabuni hufaa sana wanawake ambao hupata maambukizi mara kwa mara.
Nenda uliza duka la madawa kama unaweza kupata women genital soups iwe maalumu kwa ajili ya kujisafi bila madhara ya kuharibu uoto wa asili huko chini.
Pia ni vizuri kwa mwanamke kutumia muda wa kutosha kujisafisha pussy yake kuliko kutumia muda mwingi kusafisha na kupaka rangi kucha au kushinda na kioo kwa ajili ya uso, lips wakati huko chini mambo si shwari.

Nani alikwambia wanaume wana uwezo mdogo wa kunusa?
Wananusa sana na wengine huonja kabisa hivyo usafi ni muhimu.

No comments:

Post a Comment